Nenda kwa yaliyomo

Mla mabaki

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

NOMINO

[hariri]

Mla mabaki

  1. Ni viumbe vinavyokula mabaki ya mimea au wanyama waliokufa, na kusaidia kuvunja mabaki hayo na kuyarudisha kwenye mzunguko wa virutubishi.

Tafsiri

[hariri]