Mfanyakazi huru
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri](wingi wafanyakazi huru)
- Mtu anayefanya kazi kwa kujitegemea na kuuza huduma zake kwa wateja mbalimbali, badala ya kuwa na mwajiri mmoja.
Tafsiri
[hariri]Kiingereza:freelancer;freelance