Nenda kwa yaliyomo

Marseille

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]
ina makala kuhusu:

Nomino

[hariri]

Marseille

  1. Mji mkubwa ulioko kusini mwa nchi ya Ufaransa.
  2. Makao makuu ya mkoa wa Provence-Alpes-Côte d'Azur na bandari kuu ya biashara nchini Ufaransa.

Etimolojia

[hariri]

Jina Marseille linatokana na jina la Kigiriki cha kale "Massalia", mji ulioanzishwa na wafanyabiashara Wagiriki kutoka Phocaea miaka ya 600 KK.

Tafsiri

[hariri]