Maikrofoni
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]Maikrofoni n-n (wingi maikrofoni)
- Kifaa kinachonasa mawimbi ya sauti na kuyabadilisha kuwa mawimbi ya umeme ili yaweze kurekodiwa au kusafirishwa kielektroniki.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: microphone (en)