Nenda kwa yaliyomo

Kromosomu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Muundo wa seli unaobeba taarifa za kijenetiki (DNA), uliopangwa katika jozi ndani ya kiini cha seli

Tafsiri

[hariri]


Ingizo hili ni fupi linahitaji mtu wa kuliboresha. Unaweza kuisadia Wikamusi kwa kuongezea maarifa zaidi.