Kipashto
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri](ngeli: ki-vi)
- Lugha ya Kiirani inayozungumzwa na watu wa jamii ya Wapashtun nchini Afghanistan na kaskazini-magharibi mwa Pakistan.
- Ni mojawapo ya lugha mbili rasmi nchini Afghanistan.
- Mtindo, asili, au utamaduni unaohusiana na watu wa jamii ya Pashtun.
Etimolojia
[hariri]Neno linatokana na neno la asili la jamii hiyo "Pashto" likiambatishwa na kiambishi awali cha lugha cha Kiswahili "Ki-".
