Nenda kwa yaliyomo

Kichapishi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

Kichapishi (wingi vichapishi)

  1. Kifaa kinachotoa nakala ya faili za kidijitali (maandishi au picha) kutoka kwenye kompyuta na kuzichapisha kwenye karatasi.

Tafsiri

[hariri]