Nenda kwa yaliyomo

Kichakato

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

Kichakato (wingi vichakato)

  1. Sehemu kuu ya kompyuta (ubongo wa kompyuta) inayofasiri na kutekeleza maagizo ya programu. Hujulikana pia kama CPU (Central Processing Unit).

Tafsiri

[hariri]