Nenda kwa yaliyomo

Diski kuu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

Diski kuu n-n (wingi diski kuu)

  1. Kifaa kikuu cha hifadhi ndani ya kompyuta kinachotunza mfumo endeshi, programu na faili za mtumiaji kwa muda mrefu.

Tafsiri

[hariri]