Nenda kwa yaliyomo

Daniel

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Daniel

[hariri]

Nomino

[hariri]

Daniel – Jina la kiume la asili ya Kiebrania. Jina hili linatokana na maneno mawili yanayomaanisha **'Mungu'** na **'mwamuzi'**. Maana yake kwa ujumla ni **'Mungu ndiye Mwamuzi Wangu'**.

Etimolojia

[hariri]
  • Linatokana na lugha ya Kiebrania.
  • Jina hili linajulikana sana katika dini kutokana na Nabii Daniel, mhusika mkuu katika Kitabu cha Danieli kwenye Biblia.