Nenda kwa yaliyomo

African trypanosomiasis

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya protozoa wa jenasi ya Trypanosoma ambao huenezwa na inzi tsetse, huathiri mfumo wa neva na kusababisha uchovu uliopitiliza na matatizo ya usingizi.

Tafsiri

[hariri]