African trypanosomiasis
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- Ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya protozoa wa jenasi ya Trypanosoma ambao huenezwa na inzi tsetse, huathiri mfumo wa neva na kusababisha uchovu uliopitiliza na matatizo ya usingizi.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:ugonjwa wa malale
- Kifaransa:trypanosomiase africaine