Achenbach syndrome
Mandhari
![]()
Ingizo hili ni yatima, kwani hakuna maingizo mengine yanayounganisha hapa.
Tafadhali saidia kuweka viungo kwenye maingizo mengine yanayohusiana ili kuunganisha ukurasa huu. (Januari 2026)
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- Ugonjwa nadra unaosababisha vidole kuvimba ghafla na kubadilika rangi kuwa bluu au nyeusi kutokana na kupasuka kwa mishipa midogo ya damu; hujulikana pia kama paroxysmal finger hematoma
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:ugonjwa wa Achenbach
- Kifaransa:syndrome d’Achenbach