wingu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

wingu

Nomino[hariri]

wingu (wingi mawingu)

Pronunciation[hariri]

  1. Wingu ni matone madogo ya maji yanayoelea pamoja katika angahewa juu ya ardhi. Mawingu ni mahali ambako mvua na theluji hutoka.

Tafsiri[hariri]