seli

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

[hariri] Kiswahili

[hariri] Nomino

seli (wingi maseli)

  1. kipande kidogo kabisa chenye uhai kinachoonekana kwa mikroskopu
  2. mahali mahabusu hufungiwa
  3. uyuzaji wa bidhaa chini ya bei ya kawaida

[hariri] Tafsiri