korongo
Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru
[hariri] Kiswahili
[hariri] Nomino
korongo
- ndege wa mwitu wa familia Gruidae mwenye miguu mirefu na hupita kwenye maji ya ziwa kusaka chakula
- ndege wa mwitu wa familia Ciconiidae mwenye miguu mirefu na hupita kwenye maji ya ziwa kusaka chakula