korongo
Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru
[hariri] Kiswahili
[hariri] Nomino
korongo
- ndege wa mwitu wa familia Gruidae mwenye miguu mirefu na hupita kwenye maji ya ziwa kusaka chakula
- ndege wa mwitu wa familia Ciconiidae mwenye miguu mirefu na hupita kwenye maji ya ziwa kusaka chakula
- mnyamapori mkubwa mwenye mabaka meusi kichwani na pembe zilizopindika kuelekea nyuma
[hariri] Tafsiri
- Kiingereza: crane (en) (1) stork (en) (2) roan antelope (en) (3)
- Luhya: ekolongolo (luy)