korongo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

korongo ndevu
korongo samawati
korongo (mnyama)

Nomino[hariri]

korongo (wingi korongo)

  1. ndege wa mwitu wa familia Gruidae mwenye miguu mirefu na hupita kwenye maji ya ziwa kusaka chakula
  2. ndege wa mwitu wa familia Ciconiidae mwenye miguu mirefu na hupita kwenye maji ya ziwa kusaka chakula
  3. mnyamapori mkubwa mwenye mabaka meusi kichwani na pembe zilizopindika kuelekea nyuma

Tafsiri[hariri]

Wikipedia ya Kiswahili ina makala kuhusu:

sw