kiongozi
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
kiongozi (wingi viongozi)
- mtu anayeelekeza watu kufanya jambo
- ndege anayeongoza watu na wanyama kama nyegere mpaka masega ya nyuki
Visawe[hariri]
Tafsiri[hariri]
- Kiingereza: leader (en) (1) Kiingereza: honeyguide (en) (2)
- Luhya: omuongozi (luy) (1)
- Kiholanzi: leider (nl) (1) Kiholanzi: honingspeurder (nl) (2)