Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru
jimbi (wingi majimbi)
- kuku wa kiume ambaye hajakomaa
- shinagimbi la mgimbi (Colocasia esculenta); kisawe cha gimbi
- mmea usiotoa maua wala mbegu (Polypodiopsida) lakini unaozaa kupitia spora
- Kiingereza: cockerel (en)
- Kiingereza: taro (en)
- Kiingereza: fern (en)