chapa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

chapa (wingi machapa)

  1. hali ya kutia uchungu kwenye mwili kwa kipigo
  2. alama inayotiwa kwenye pakiti ya bidhaa kuonyesha kimetengenezwa na kampuni ipi

Visawe[hariri]

Tafsiri[hariri]