chai

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Yaliyomo

[hariri] Kiswahili

chai kinyuaji.

[hariri] Nomino

chai


  1. kinyuaji kilichotengenezwa kwa kuchemsha maji yenye majani ya mchai
  2. kitu hasa pesa anachopewa mtu ili afanye jambo lisilo la haki


[hariri] Visawe

[hariri] Tafsiri