akaunti

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

akaunti (wingi maakaunti)

  1. sehemu kwenye benki inayotiwa na kutolewa fedha
  2. kitambulisho katika matumizi ya mtandao wa intaneti au wa simu ya mkononi

Tafsiri[hariri]