afiki

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Kitenzi[hariri]

afiki

  1. kubali fikra au hoja fulani
  2. kubaliana na;patana na; lingana na
  3. kuwa sawasawa

visawe[hariri]

  • kubali
  • faa
  • pendeza

Tafsiri[hariri]